Hii ni nyimbo mpya mrap aliyomshirikisha ben pol inaitwa nkubembeleze isikilize na ute maoni tusameheni kwa kuwa kimya yalikua matatizo yakiufundi

20140527-133209-48729361.jpg
Msanii Mrap Lion ambae ameingia kwenye uigizaji wa Short Film ambazo zinatoa mafunzo kwa vijana wa kuanzia HIGH SCHOOL, College na University kuelewa nini kinachoendelea Mtaani na katika jamii baada ya kumaliza masomo.
“Ndoto Teja” ni series ya “Short Films” ambayo imeandikwa na kufanywa na Director Frank ‘Gonga’ Mgoyo na kuchezwa na Mrap Lion pamoja na mwanamitindo Myler Nyangasa, filamu hii imeangalia zaidi ukuwaji wa matumizi ya vilevi kuanzia pombe, bangi na madawa ya kulevya kiasi cha kusababisha kuharibu maisha ya vijana wengi nchini.
‘Ndoto Teja’ ni “Filamu Fupi” ambazo zitakuwa zinakuja kila baada ya muda mfupi ambazo zote zitakuwa zinalenga Jamii ya Mtanzania kwa ujumla, zaidi kabisa ni upande wa Burudani na Vijana.

                           Msanii wa kizazi Kipya mabeste   aongelea juu ya  BHITZ kumshutumu Mrap Kuiba Mistari Alichokisema Ni kama Ifuatavyo

Nasikitika Pancho Latino na Uongozi wa Bhits kwa kulalamika kua M-Rap ametumia mistari yao katika Track yake aliyoifanya Am Records (usiende mbali) kuwa ametumia Verse alizowahi kuandika kipindi yuko Bhits na kuamua kutoa hiyo Track yenye hiyo Verse ambayo ni (only you remix)... sasa mbona (only you remix) waliyoitoa Bhits ile chorus aliyoifanya Jux niliandika mimi wakat niko Bhits!! Je mbona wao wametumia mistari yangu wakati mimi siko Bhits? Na kama issue ni Copy n Paste au kuishiwa na idea,mbona beat iliyotumika kwenye Track yangu ya "SIRUDI TENA" Pancho amei Copy kwenye Track ya (cheap monkey ft chriss brown - champion)?? Je ni haki wanachofanya??
Ama wanataka kumuaibisha tuu dogo(M-rap), mbona wao pia wanazingua nao???
#MabesteArmy!



Baada ya Mrap kutaka kutoa track Mpya na kushindikana kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake sasa Mrap arelease Track Mpya IItwayo Usiende mbali sikiliza hapo chini




Kwenye post yangu ya mwisho nilongelea Ujio mpya wa mrap na nyimbo Ya Mapenzi lakini Mrap Sasa amerelease jina la hiyo Inaitwa      Dedication      Ambayo amemshirikisha Damian soul Mkali wa Rnb Track hii Imefanywa chini Ya Bhitz Kma Record Label Na Produced By Hermy Na Pancho Latino Inakuja Soon
Copyright © 2012 THE M-RAP LION